THE ADVOCATES STREET MATCH TO EXPRESS THEIR FEELS ON THE ACTS OF POLICES TO THEIR FELLOW ADVOCATE MSOMI SHILINDE.READ HERE FOR THE DETAILS>>>>>

KUTAZAMA VIDEO YAKE BONYEZA
HAPA CHINI▼▼


PICHA ZAKE ZOTE AKIWA MTUPU BONYEZA
HAPA CHINI▼▼


Alichokisema Wakili Msomi Shilinde kuhusu kukamatwa na kuhojiwa

Dear , colleague clarification kwa wale ambao hajawaelewa post yangu.Kwa wale ambao haifahamu Loliondo ni takribani km 400 kutoka Arusha.

Huku kunawawezaji kwenye sekta ya utalii na kunakampuni mbili maarufu zinazolindwa na serikali kwa nguvu kubwa.

OBC ni kampuni ya mfaulme Mwarabu na TCL ni kampuni ya tajiri wa kimarekani anaitwa Rick.Kampuni hizi zina migogoro ya Ardhi ya muda mrefu na wanavijiji.

Zipo Kesi za madai ya ardhi High court Arusha zinaendelea na Mimi ni mmoja wa prosecuting adv. kwenye kesi hizo.Serikali na makampuni hayo wanaona Kesi hizo ni kikwazo kwa maslahi yao hivyo Mawakili wamekuwa associated na migogoro hiyo.

Katika hali ya kuwatisha viongozi wa vijiji na wanakijiji kuendelea kudai haki zao mahakamani serikali imekuja na task force inawakamata na kuwatia ndani viongozi wa vijiji na wanakijiji na viongozi wa NGOs walio mbele kuwasaidi vijiji kupata haki zao.

Kamatakamta ya polisi ikawaweka ndani wanakijiji,na viongozi wao pamoja na director wa NGo moja hapa loliondo kwa takribani siku 8 sasa bila kufikishwa mahakamani.

As a human rights lawyer I volunteers to come here in Loliondo kuja kutia Msukumo watuhumiwa hao wafikishwe mahakamani ili pia tuwawakilishe mahakamani.

Harakati hizo ndizo zilizopelekea wakili kutuhumiwa pamoja na wateja wake na kisha kuzuiliwa ili ahojiwe ktk tuhuma zinazodaiwa kuwa za ujasusi.

Polisi walinidhamini niondoke kituoni Jana usiku kwa sharti la kuriport leo kutoa maelezo.

Leo nimekwenda kituoni time ikawa extended hadi Jumatatu kwa dhamana ya OCD.Kwa hiyo nipo Loliondo bado.

Kauli za wakili mtetezi kuwa sehemu ya kosa ya mteja wake na Jaji Au hakimu kumuachia mharifu akijua kuwa mharifu na yeye ni mharifu alisema mkuu wa kikosi kazi hicho Afande Commissiner Chilya wakati wa kunihoji na timu yake.

Swala hili ni tofauti kabisa nala wakili Mwale.Mimi nimeona mkakati huu wa kipolisi ni tishio kwa kazi ya uwakili na ndio maana nimeraise alarm hii.

Lakini pia suala zima pia la mawakili kuonekana wanaganga njaa.Hata hivyo ninawashukru sana mawakili wote kuonyesha solidality kupinga udhalilishaji wa taaluma yetu unaofanywa na polisi .
 


KWA NAFASI ZA KAZI POPOTE TANZANIA, BONYEZA
HAPA CHINI▼▼

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.
[3.00 MB]VIDEO YA ALIKIBA AKIBANDUANA NA JOKATE, BONYEZA
HAPA CHINI▼▼



0 comments: