AVRIL AND DIAMOND NO HIDE.FEMALE MUSICIAN FROM KENYA AVRIL EXPLAINED ABOUT LOVE RUMMERS WITH DIAMOND IN SOCIAL MEDIA.READ HERE FOR DETAILS>>>>
HAPA CHINI▼▼


HAPA CHINI▼▼



Avril mwanamuziki kutoka Kenya ametua Bongo kimya kimya ambapo zile
skendo za kuwa huenda Diamond Platnumz baada ya video ya ‘Kesho’
waliyoifanya miaka ya nyuma labda alitumia nafasi hiyo kutoka naye
kimapenzi.
Avril kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio alisema kuwa
yeye na Diamond Platnumz hawakufanya project nyingine yoyote zaidi ya
kutengeneza video ile ya ‘Kesho’ japo alimuelezea Diamond kuwa ni msanii
mpole sana na mwenye kupenda kazi yake na kujituma.
“Diamond ni rafiki yangu ni mtu poa sana, tumejuana kwa muda mfupi lakini ni msanii mwenye bidii ya kufanya kazi na kukutana na msanii mwenye bidii ni jambo zuri, hi mtu mzuri mpole hana maneno na watu. Najua vyombo vya habari vinampa sifa nyingi tofauti na yeye lakini ukikutana na yeye moja kwa moja ni mtu mzuri sana. Baada ya kufanya ile video ya kesho hakuna project nyingine tulifanya” alisema Avril
Mbali na hilo Avril alitaja wasani watano kutoka Tanzania ambao
anawakubali na kuanza na Diamond Platnumz, Ommy Dimpoz, Raymond, Vanessa
Mdee pamoja na Linah Sanga.
HAPA CHINI▼▼
During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.
HAPA CHINI▼▼

0 comments: